Local,Transfer News,Yanga

Aziz Ki atimkia Al Ittihad Libya

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Jan 2026
Aziz Ki atimkia Al Ittihad Libya

Nyota wa zamani wa Yanga Stephane Aziz Ki ameondoka Wydad AC ya Morocco na kujiunga na Al Ittihad ya Libya kwa mkataba wa miaka miwili.

Usajili wa nyota wa zamani wa Sevilla na timu ya Taifa ya Ufaransa, Wissam Ben Yedder ambao Wydad AC itaukamilisha hivi karibuni, unatajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kuishawishi klabu hiyo kumfungulia mlango wa kutokea Aziz Ki.

Al Ittihad imelipa kitita cha Dola 300,000 (Sh 825 milioni) ili kuipata saini ya kiungo huyo wa timu ya taifa ya Burkina Faso.

Klabu za Kaizer Chiefs na MC Alger nazo zilitajwa kumuwania mchezaji bora huyo wa ligi ligi kuu ya NBC 2023/24.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
8h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
11h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
15h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
17h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
18h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
18h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
20h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
23h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’