Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema klabu ilishafanya utaratibu wa kukodi ndege binafsi kuelekea mkoani Tabora kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons kabla ya mabadiliko yaliyotangazwa na Bodi ya ligi jana kuwa mchezo huo utapigwa uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Kamwe amesema mpaka jana walikuwa wamejiandaa na safari ya kuelekea Tabora leo,..... download Xtra 90 App



