Mshambuliaji nyota wa Misri, Mohamed Salah, anatarajiwa kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu wa 2025/2026, kufuatia makubaliano kati yake na klabu hiyo kumaliza mkataba wake.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya klabu, uamuzi huo umefikiwa kwa maelewano, ukihitimisha safari ya takribani miaka tisa ya mafanikio makubwa katika dimba la Anfield.
Salah, ambaye alijiunga na Liverpool..... download Xtra 90 App



