Ni Aston Villa na Freiburg kuchuana fainali EUROPA

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 8th May 2026


Ni Aston Villa na Freiburg kuchuana fainali EUROPA

Klabu ya Aston Villa imefuzu rasmi kwenda fainali ya UEFA Europa League baada ya kuifunga Nottingham Forest mabao 4-0 katika mchezo wa pili wa nusu fainali uliochezwa ndani ya Villa Park. Ushindi huo umeifanya Villa kupita kwa jumla ya mabao 4-1 baada ya kufuta pengo la 1-0 kutoka mchezo wa kwanza, katika usiku uliokuwa wa kipekee kwa mashabiki wao.

Ollie Watkins aliiandikia Villa bao la..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →