Klabu ya Aston Villa imefuzu rasmi kwenda fainali ya UEFA Europa League baada ya kuifunga Nottingham Forest mabao 4-0 katika mchezo wa pili wa nusu fainali uliochezwa ndani ya Villa Park. Ushindi huo umeifanya Villa kupita kwa jumla ya mabao 4-1 baada ya kufuta pengo la 1-0 kutoka mchezo wa kwanza, katika usiku uliokuwa wa kipekee kwa mashabiki wao.
Ollie Watkins aliiandikia Villa bao la..... download Xtra 90 App



