Baada ya ushindi mwembamba wa 1-0 wa Mamelodi Sundowns kwenye mchezo wa kwanza wa fainali ya CAF Champions League mjini Pretoria, macho ya Afrika sasa yanaelekezwa Rabat, Morocco, ambako leo Jumapili AS FAR wanahitaji kufanya jambo kubwa mbele ya mashabiki wao ili kubeba taji la bara.
Lakini swali kubwa linabaki: je, kweli AS FAR wana uwezo wa “kupindua meza” dhidi ya..... download Xtra 90 App



