Klabu ya Kaize Chiefs ya Afrika Kusini, imemteua kocha Mfaransa, Fernando Da Cruz, kuwa meneja mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili, huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi.
Kwa mujibu wa taarifa za karibu na klabu, Da Cruz amekamilisha makubaliano na uongozi wa Kaizer Chiefs na kusaini mkataba huo mpya unaomuweka rasmi kama mrithi wa majukumu ya kuiongoza timu..... download Xtra 90 App



