Kocha wa zamani wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, anatarajiwa kutua jijini Casablanca kwa ajili ya kukamilisha taratibu za mwisho za kujiunga na Raja Club Athletic (Raja CA).
Kwa mujibu wa taarifa, Nabi na Raja CA tayari wamefikia makubaliano ya awali kuhusu mkataba utakaoendelea hadi mwisho wa msimu ujao, huku masuala madogo ya kiutawala yakisalia kabla ya tangazo rasmi..... download Xtra 90 App



