Klabu ya Tanzania Prisons, imeanza kuandika upya simulizi yao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kupata mfululizo wa matokeo chanya yaliyoibua matumaini mapya ya kusalia kwenye ligi hiyo msimu huu.
Baada ya mwanzo mbaya ulioifanya timu hiyo kupitia kipindi kigumu kilichoshuhudia uongozi ukifanya mabadiliko ya benchi la ufundi, sasa mwanga unaanza kuonekana ndani ya kikosi hicho cha..... download Xtra 90 App



