Young Africans (Yanga) imepata ushindi mkubwa wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, na kujiimarisha zaidi katika mbio za kuwania ubingwa wa msimu huu.
Baada ya kipindi cha kwanza kuwa na ushindani mkubwa, Yanga ilifanikiwa kuvunja ukimya dakika ya 41 kupitia Ibrahim Bacca aliyefunga bao la kuongoza na kuipeleka timu yake mapumzikoni ikiwa mbele kwa bao..... download Xtra 90 App



