Licha ya matokeo yasiyoridhisha ya timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) kwenye Kombe la Dunia 2026, shabiki maarufu Michel Kuka Mboladinga, anayefahamika zaidi kwa jina la "Lumumba Vea", ameendelea kuwa moja ya vivutio vikubwa vya mashindano hayo.
Lumumba Vea amevutia macho ya mashabiki na vyombo vya habari duniani kutokana na namna yake ya kipekee ya kuishangilia..... download Xtra 90 App



