Lumumba kivutio Kombe la Dunia licha ya matokeo mabaya ya DR Congo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 26th June 2026


Lumumba kivutio Kombe la Dunia licha ya matokeo mabaya ya DR Congo

Licha ya matokeo yasiyoridhisha ya timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) kwenye Kombe la Dunia 2026, shabiki maarufu Michel Kuka Mboladinga, anayefahamika zaidi kwa jina la "Lumumba Vea", ameendelea kuwa moja ya vivutio vikubwa vya mashindano hayo.

Lumumba Vea amevutia macho ya mashabiki na vyombo vya habari duniani kutokana na namna yake ya kipekee ya kuishangilia..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Today, READ MORE β†’
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
Today, READ MORE β†’
Gwalala aanza kazi TRA United
Gwalala aanza kazi TRA United
Today, READ MORE β†’
Infantino mambo yanazidi kuwa magumu FIFA
Infantino mambo yanazidi kuwa magumu FIFA
Today, READ MORE β†’
Rashford aanza maisha upya Manchester United
Rashford aanza maisha upya Manchester United
Today, READ MORE β†’
Fei Toto aibuka kidedea tuzo ya mchezaji bora Zanzibar
Fei Toto aibuka kidedea tuzo ya mchezaji bora Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Simba, Yanga sasa kuoneshana kazi Zanzibar, Ngao ya Jamii
Simba, Yanga sasa kuoneshana kazi Zanzibar, Ngao ya Jamii
Today, READ MORE β†’
Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Yesterday, READ MORE β†’
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Yesterday, READ MORE β†’
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Yesterday, READ MORE β†’