Fei Toto, Mossi, Okello watatoana damu ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th June 2026


Fei Toto, Mossi, Okello watatoana damu ufungaji bora

Ligi Kuu ya NBC inahitimishwa kesho Jumanne kwa timu zote 16 kushuka viwanjani kucheza mechi za mwisho wa msimu.

Ukiacha vita ya Yanga na Simba kwenye ubingwa na vita ya chini ya msimamo wa ligi, kuna hii vita ya kuwania ufungaji bora.

Feisal Salum wa Azam Fc, Allan Okello wa Yanga na Ndumumwe Mossi wa Singida BS wanachuana vikali kuwania kiatu cha ufungaji bora.

Fei Toto anaongoza akiwa na mabao 15 wakati Okello na Mossi kila mmoja amefunga mabao 14.

Lakini kwa karibu wanafuatiwa na Mathew Tegis wa Pamba Jiji mwenye mabao 11 sawa na Fabrice Ngoy wa Namungo Fc.

Fei Toto atakamilisha mechi ya mwisho nyumbani dhidi ya Dodoma Jiji, wakati Okello na Mossi watakuwa ugenini.

Okello atakuwa dimba la Meja Jenerali Isamuhyo wakati Yanga ikichuana na JKT Tanzania wakati Mossi atakuwa Arusha dimba la Sheikh Amri Abeid Singida BS ikichuana na Fountain Gate.


  

More Stories

Fei Toto, Mossi, Okello watatoana damu ufungaji bora
Fei Toto, Mossi, Okello watatoana damu ufungaji bora
Today, READ MORE β†’
Enzo atambulishwa Man City, ataweza kuziba pengo la Guardiola?
Enzo atambulishwa Man City, ataweza kuziba pengo la Guardiola?
Today, READ MORE β†’
Moalin - Tunahitaji Ushindi Tuwe Mabingwa
Moalin - Tunahitaji Ushindi Tuwe Mabingwa
Today, READ MORE β†’
Mechi tatu kupigwa leo ndani ya kombe la dunia 2026, Hatua ya 32 Bora.
Mechi tatu kupigwa leo ndani ya kombe la dunia 2026, Hatua ya 32 Bora.
Today, READ MORE β†’
Moallin au Steve Barker, dakika 90 za mwisho za kuandika historia ya ubingwa
Moallin au Steve Barker, dakika 90 za mwisho za kuandika historia ya ubingwa
Today, READ MORE β†’
Chelsea waendelea kumuwinda Granit Xhaka, Kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao
Chelsea waendelea kumuwinda Granit Xhaka, Kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao
Today, READ MORE β†’
Pamba Jiji Yakabiliwa Na Hatari Ya Kuporomoka Kikosi, Nyota Wake Wahusishwa Na Timu Mbalimbali
Pamba Jiji Yakabiliwa Na Hatari Ya Kuporomoka Kikosi, Nyota Wake Wahusishwa Na Timu Mbalimbali
Today, READ MORE β†’
JKT Tanzania : Tunatafuna mfupa uliowashinda
JKT Tanzania : Tunatafuna mfupa uliowashinda
Today, READ MORE β†’
Kinda Afrika kusini Aiteka WC2026, Atabiliwa Makubwa
Kinda Afrika kusini Aiteka WC2026, Atabiliwa Makubwa
Today, READ MORE β†’
Hatma ya Fountain Gate, Mbeya City, Mtibwa na Tanzania Prison Kufahamika kesho
Hatma ya Fountain Gate, Mbeya City, Mtibwa na Tanzania Prison Kufahamika kesho
Today, READ MORE β†’