Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania

Joel JJ By Joel JJ β€’ 2nd July 2026


Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania

Klabu ya JKT Tanzania imemuongeza mkataba wa miaka miwili kocha wake mkuu Ahmed Ally. Baada ya kuwaongoza maafande hao msimu uliomalizika kumaliza nafasi ya 6, mabosi wa JKT Tanzania wameridhika na kazi yake na sasa wamemkabidhi timu hadi mwaka 2028.

JKT Tanzania ni moja ya timu zilizokuwa tishio msimu uliomalizika ikifanikiwa kushinda mechi 10, sare 12 na kutoka sare mechi nane wakimaliza msimu na alama 42. Kuna nyakati maafande hao walikaa kileleni mwa msimamo wa ligi kwa wiki kadhaa.

Ahmed Ally ni miongoni mwa makocha vijana wazawa ambao wameendelea kudhihirisha kuwa hata makocha wa ndani wakiaminiwa wanaweza.

Ahmed yuko sehemu ya benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' inayonolewa na kocha Miguel Gamondi


  

More Stories

Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Mouringo ampeleka Camavinga Man City
Today, READ MORE β†’
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Tonali na Mateus Fernandez watua Spurs
Today, READ MORE β†’
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Kichapo dhidi ya Ubelgiji , Kiungo Matata Senegal Atoa Nyongo kwa Benchi lake la Ufundi
Today, READ MORE β†’
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Ahmed Ally aongeza miaka miwili JKT Tanzania
Today, READ MORE β†’
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Simba mbioni kumalizana na kiungo mahiri Stellenbosch
Today, READ MORE β†’
Dube aiweka Yanga njia panda
Dube aiweka Yanga njia panda
Today, READ MORE β†’
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Ubelgiji wapindua meza kibabe kwa mara nyingine, Wakiwaondoa Senegal WC26
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
England yaiondoa DR Congo kombe la dunia 2026, Harry kane akiendelea kuonyesha makali
Today, READ MORE β†’
Barcelona kuzindua Uzi wao mpya utakaotumika msimu ujao.
Barcelona kuzindua Uzi wao mpya utakaotumika msimu ujao.
Today, READ MORE β†’
Laporta athibitisha, Barcelona imetuma ofa Atletico kumsajili Alvarez
Laporta athibitisha, Barcelona imetuma ofa Atletico kumsajili Alvarez
Today, READ MORE β†’