Klabu ya Yanga imekamilisha usajiri wa kijana Juma Abushiri 18 kutokea Fountain Gate , ambae Inaelezwa kuwa kinda huyo alikuwa mbioni kujiunga na miamba ya soka nchini Ubelgiji , KAA Gent .
Taarifa kutokea kwa mabingwa hao wa Twiga na jangwani wamekamilisha usajiri huo wenye thamani ya Tsh milioni 90 huku wakilipa milioni 100 kwa Fountain Gate ikiwa ni sehemu ya kuvunja mkataba wa miaka..... download Xtra 90 App



