Tasnia ya soka imepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha aliyekuwa kipa wa Yanga SC, Clause Kindoki, ambaye amefariki dunia jana, Julai 11, 2026, kufuatia ajali mbaya ya bodaboda iliyotokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo).
Kwa mujibu wa aliyekuwa meneja wa mshambuliaji Fiston Mayele, Nestor Mutuale, Kindoki alipata ajali hiyo saa chache baada ya kumalizika kwa mchezo..... download Xtra 90 App



