Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th July 2026


Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars

Klabu ya Singida Black Stars imeendelea kuimarisha safu yake ya ushambuliaji baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji chipukizi Candidat Mapendo kutoka AS Dauphin Noir ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo).

Mapendo, mwenye umri wa miaka 19, amekuwa mmoja wa washambuliaji wanaozungumziwa zaidi katika soka la Congo baada ya kufanya vizuri katika Ligi Kuu ya DR Congo (Linafoot),..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars
Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars
Today, READ MORE β†’
Azam Fc wakumbana na rungu TFF baada ya kukacha tuzo CRDB Cup
Azam Fc wakumbana na rungu TFF baada ya kukacha tuzo CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Deal done: Youri Tielemans sasa ni mali ya Red Devils.
Deal done: Youri Tielemans sasa ni mali ya Red Devils.
Today, READ MORE β†’
Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda
Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda
Today, READ MORE β†’
Historia yaandikwa, Timu nne bora duniani zote zatinga nusu fainali ya kombe la dunia 2026.
Historia yaandikwa, Timu nne bora duniani zote zatinga nusu fainali ya kombe la dunia 2026.
Today, READ MORE β†’
Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu
Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu
Today, READ MORE β†’
Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.
Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.
Yesterday, READ MORE β†’
Aliyekuwa golikipa wa Yanga Sc Clause Kindoki afariki dunia kwa ajali ya pikipiki
Aliyekuwa golikipa wa Yanga Sc Clause Kindoki afariki dunia kwa ajali ya pikipiki
Yesterday, READ MORE β†’
Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Yesterday, READ MORE β†’