Klabu ya Singida Black Stars imeendelea kuimarisha safu yake ya ushambuliaji baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji chipukizi Candidat Mapendo kutoka AS Dauphin Noir ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo).
Mapendo, mwenye umri wa miaka 19, amekuwa mmoja wa washambuliaji wanaozungumziwa zaidi katika soka la Congo baada ya kufanya vizuri katika Ligi Kuu ya DR Congo (Linafoot),..... download Xtra 90 App



