Klabu ya Azam FC imethibitisha rasmi kurejea kwa kiungo mshambuliaji wa Ivory Coast, Zunon Kipré Emmanuel Junior maarufu kama Kipre Junior, baada ya kufikia makubaliano ya uhamisho na MC Alger ya Algeria. Nyota huyo amesaini mkataba na kutambulishwa rasmi katika makao makuu ya klabu, akirejea Chamazi baada ya kuondoka mwaka 2024.
Kipre alijiunga na MC Alger mwaka 2024 kwa dau..... download Xtra 90 App



