Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 15th July 2026


Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc

Klabu ya Azam FC imethibitisha rasmi kurejea kwa kiungo mshambuliaji wa Ivory Coast, Zunon Kipré Emmanuel Junior maarufu kama Kipre Junior, baada ya kufikia makubaliano ya uhamisho na MC Alger ya Algeria. Nyota huyo amesaini mkataba na kutambulishwa rasmi katika makao makuu ya klabu, akirejea Chamazi baada ya kuondoka mwaka 2024.

Kipre alijiunga na MC Alger mwaka 2024 kwa dau..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc
Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc
Today, READ MORE →
Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Today, READ MORE →
Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50
Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50
Today, READ MORE →
Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga
Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga
Today, READ MORE →
Zidane kurithi mikoba ya Deschamps Ufaransa
Zidane kurithi mikoba ya Deschamps Ufaransa
Today, READ MORE →
England vs Argentina: nani anakwenda fainali?
England vs Argentina: nani anakwenda fainali?
Today, READ MORE →
Mwalimu aongeza mkataba wa mkopo Simba
Mwalimu aongeza mkataba wa mkopo Simba
Today, READ MORE →
Julio njia panda Mashujaa Fc
Julio njia panda Mashujaa Fc
Today, READ MORE →
Mo Dewji na Steve Barker wakutana Afrika Kusini, wajadili mipango mikubwa ya Simba
Mo Dewji na Steve Barker wakutana Afrika Kusini, wajadili mipango mikubwa ya Simba
Today, READ MORE →
Hispania yafuzu fainali kombe la dunia 2026, ikiwatoa Ufaransa
Hispania yafuzu fainali kombe la dunia 2026, ikiwatoa Ufaransa
Today, READ MORE →