Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe, amesema ombi la Shirikisho la Soka la Misri (EFA) la kuongeza idadi ya vilabu vinavyoshiriki CAF Champions League bado halijafikiwa uamuzi. Amesisitiza kuwa mapendekezo hayo yatafanyiwa tathmini na vyombo husika vya CAF kabla ya hatua yoyote kuchukuliwa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Motsepe alisema ombi hilo..... download Xtra 90 App



