Kiungo mahiri wa Nigeria, Morice Chukwu, ameachana na mpango wa kuendelea kuitumikia Singida Black Stars baada ya kugomea mkataba mpya, huku akielezwa kuwa karibu kutua kwa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC.
Chukwu ambaye alikuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Singida BS, hayupo kwenye timu hiyo inayojiandaa kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup nchini Rwanda. Hatua hiyo imeongeza nguvu..... download Xtra 90 App



