Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu • 31st August 2026


Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo

Ukocha ni zaidi ya mbinu za uwanjani.

Ni uwezo wa kujenga timu, kuibua vipaji, kuweka nidhamu na kuwafanya wachezaji kuamini uwezo wao.

Ahmad Ally ni miongoni mwa makocha wazawa ambao wameendelea kuthibitisha uwezo wao katika klabu mbalimbali walizopata nafasi ya kuzifundisha.

Akiwa Prisons, Ahmad Ally aliweza kuibadilisha timu hiyo kutoka katika mfumo wa soka la pira nginja nginja na kuifanya icheze mpira wenye urahisi, mpangilio mzuri na unaovutia mashabiki.

Sasa akiwa na JKT Tanzania, kocha huyo anaendelea kujenga timu yenye ushindani, huku akiwapa nafasi wachezaji kuonyesha uwezo wao na kuifanya JKT Tanzania kuwa moja ya timu ambazo si rahisi kukutana nazo uwanjani.

Uwezo wake wa kujenga kikosi na kuboresha kiwango cha wachezaji unaendelea kumfanya Ahmad Ally kuwa miongoni mwa makocha wazawa wanaotazamwa kwa jicho la karibu katika soka la Tanzania.


  

More Stories

Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo
Azizi KI Yupo Tayari Kuikabili Fountain Gate hii Leo
Today, READ MORE →
Malick Yalcouyé, kutoka ASEC hadi kuwang’ara Brighton na kuacha majuto Simba.
Malick Yalcouyé, kutoka ASEC hadi kuwang’ara Brighton na kuacha majuto Simba.
Today, READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 20, August 31 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 20, August 31 2026
Today, READ MORE →
Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo
Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania na vijana wake ndani ya chumba cha kubadilishia nguo
Today, READ MORE →
Raundi ya tano Ligi Kuu NBC: Simba na Yanga kushuka uwanjani leo
Raundi ya tano Ligi Kuu NBC: Simba na Yanga kushuka uwanjani leo
Today, READ MORE →
United na Chelsea zavuruga raundi ya pili EPL
United na Chelsea zavuruga raundi ya pili EPL
Today, READ MORE →
Raja Casablanca yaingia katika mgogoro mkubwa, Nabi aondoka Casablanca
Raja Casablanca yaingia katika mgogoro mkubwa, Nabi aondoka Casablanca
Today, READ MORE →
Van Dijk amtaka Gakpo abaki Liverpool licha ya nia ya Manchester City
Van Dijk amtaka Gakpo abaki Liverpool licha ya nia ya Manchester City
Today, READ MORE →
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal
Barcelona yamnasa Gabriel Jesus Kutoka Arsenal
Today, READ MORE →
Manqoba apania kuendeleza ubabe Yanga ikitua Arusha kuikabili Fountain Gate
Manqoba apania kuendeleza ubabe Yanga ikitua Arusha kuikabili Fountain Gate
Today, READ MORE →