Uwanja ndio sababu hatufungi magoli mengi : Steve Berker Kocha wa Simba

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 1st September 2026


Uwanja ndio sababu hatufungi magoli mengi : Steve Berker Kocha wa Simba

Kocha Mkuu wa Simba Steve Berker ameweka wazi kutorudhishwa na uwanja wa Meja jenerali Isamuhyo akisema uwanja huo umekuwa changamoto kubwa kwa Timu yake katika kutengeneza na kufunga mabao mengi .

Berker amesema hayo apo Jana baada ya mchezo dhidi Geita Gold ambapo timu ya Simba iliibuka na Ushindi wa mabao mawili kwa sifuri, kupitia kwa viungo washambuliaji Cletous Chama na Libasse Gueye

Simba ambayo ilitangaza karibuni kufanya uwanja huo kuwa uwanja wake wa nyumbani tayari imekwisha cheza michezo miwili huku ikifunga jumla ya mabao matatu katika michezo hiyo


  

More Stories

Yanga kuanza kampeni za kimataifa na jezi mpya
Yanga kuanza kampeni za kimataifa na jezi mpya
Today, READ MORE →
Waamuzi wanne kutoka Tanzania wateuliwa na CAF kuchezesha mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika
Waamuzi wanne kutoka Tanzania wateuliwa na CAF kuchezesha mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika
Today, READ MORE →
Waamuzi wa Tanzania kuchezesha JS Saoura dhidi ya Horoya
Waamuzi wa Tanzania kuchezesha JS Saoura dhidi ya Horoya
Today, READ MORE →
Uwanja ndio sababu hatufungi magoli mengi : Steve Berker Kocha wa Simba
Uwanja ndio sababu hatufungi magoli mengi : Steve Berker Kocha wa Simba
Today, READ MORE →
Mashabiki wa Simba wamgusa Doumbia kwa ujumbe wa upendo
Mashabiki wa Simba wamgusa Doumbia kwa ujumbe wa upendo
Today, READ MORE →
Nasreddine Nabi aachana rasmi na Raja Casablanca
Nasreddine Nabi aachana rasmi na Raja Casablanca
Today, READ MORE →
Saka Aipa Arsenal Ushindi wa Pili Mfululizo, Clean Sheet Bado Haijavunjwa.
Saka Aipa Arsenal Ushindi wa Pili Mfululizo, Clean Sheet Bado Haijavunjwa.
Today, READ MORE →
NBC Premier League: Azam Yaibuka na Pointi Tatu licha ya Red Card.
NBC Premier League: Azam Yaibuka na Pointi Tatu licha ya Red Card.
Today, READ MORE →
Atlético Madrid Yampa Julián Álvarez Dili la €120M kwa Barcelona Januari.
Atlético Madrid Yampa Julián Álvarez Dili la €120M kwa Barcelona Januari.
Today, READ MORE →
Lionel Messi astaafu soka la kimataifa akiwa na historia isiyofutika.
Lionel Messi astaafu soka la kimataifa akiwa na historia isiyofutika.
Today, READ MORE →