Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 2nd September 2026


Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90

Simba SC imetangaza ujio wa Simba Marathon, tukio litakalokuwa sehemu ya mwendelezo wa shughuli za maadhimisho ya miaka 90 ya klabu hiyo. Tukio hilo linatarajiwa kufanyika Oktoba 4, 2026, likilenga kuwapa mashabiki nafasi ya kushiriki katika shughuli mbalimbali nje ya uwanja wa soka.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema maandalizi ya tukio hilo yanaendelea huku klabu ikilenga kuwaunganisha mashabiki kupitia shughuli zinazokwenda sambamba na utamaduni wa klabu hiyo.

Ahmed amesema Simba inaamini mashabiki wake wana vipaji na shughuli mbalimbali wanazozipenda nje ya mpira, hivyo Simba Marathon ni sehemu ya juhudi za kuwapa nafasi ya kushiriki, kufurahia na kuendelea kuwa karibu na klabu yao katika kipindi cha maadhimisho ya miaka 90.


  

More Stories

Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Today, READ MORE β†’
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Today, READ MORE β†’
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Today, READ MORE β†’
CAF: Timu mwenyeji ndiye mwenye jukumu la urushaji wa matangazo ya mechi hatua za awali
CAF: Timu mwenyeji ndiye mwenye jukumu la urushaji wa matangazo ya mechi hatua za awali
Today, READ MORE β†’
Yanga na Simba zaweka hadharani viwanja vya nyumbani ligi ya mabingwa
Yanga na Simba zaweka hadharani viwanja vya nyumbani ligi ya mabingwa
Today, READ MORE β†’
Yanga SC wafika Johannesburg, waelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wa CAF
Yanga SC wafika Johannesburg, waelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wa CAF
Today, READ MORE β†’
Steve Barker atoa wasiwasi kuhusu hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo
Steve Barker atoa wasiwasi kuhusu hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo
Today, READ MORE β†’
CAF Champions League na Confederation Cup Zaanza Wikiendi Hii.
CAF Champions League na Confederation Cup Zaanza Wikiendi Hii.
Today, READ MORE β†’
Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.
Uwanja wa Uhuru waandaliwa tayari kuwa machinjio ya Simba kwenye CAF Champions League.
Today, READ MORE β†’
Singida Black Stars Yaibuka na Ushindi, Yapanda Nafasi ya Nne NBC Premier League.
Singida Black Stars Yaibuka na Ushindi, Yapanda Nafasi ya Nne NBC Premier League.
Today, READ MORE β†’