Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 3rd September 2026


Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika

Mdau wa soka nchini, Edo Kumwembe, amesema Simba SC ilikuwa klabu ya kwanza kuzungumza na mshambuliaji raia wa Namibia, Peter Shalulile kabla ya nyota huyo hatimaye kujiunga na watani wao wa jadi, Yanga SC.

Edo ametoa kauli hiyo kupitia Wasafi, akisema taarifa hizo alizipata kutoka kwa kiongozi wa ndani wa Simba. Kwa mujibu wa maelezo hayo, Simba ilianza mazungumzo na Shalulile huku kocha mkuu wa timu hiyo akipinga usajiri huo kabla ya Yanga kuingia kwenye mchakato na kufanikiwa kumpata mshambuliaji huyo.

Shalulile, ambaye kwa sasa anaitumikia Yanga, ameanza kuonyesha uwezo wake katika Ligi Kuu Tanzania Bara, akiwa tayari amefunga mabao matatu katika msimu huu.


  

More Stories

TPLB yasisitiza, mabadiliko ya ratiba hayataathiri mwisho wa ligi
TPLB yasisitiza, mabadiliko ya ratiba hayataathiri mwisho wa ligi
Today, READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 03 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 03 2026
Today, READ MORE →
Al Ahli Tripoli yawasili Zanzibar kwa mtanange wa CAF dhidi ya KMKM.
Al Ahli Tripoli yawasili Zanzibar kwa mtanange wa CAF dhidi ya KMKM.
Today, READ MORE →
Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”
Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”
Today, READ MORE →
Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika
Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika
Today, READ MORE →
Yanga kumtumia Fabrizio romano kutambulisha jezi si jambo jipya
Yanga kumtumia Fabrizio romano kutambulisha jezi si jambo jipya
Today, READ MORE →
Fabrizio Romano Azindua Jezi za Yanga kwa Ajili ya CAF Champions League.
Fabrizio Romano Azindua Jezi za Yanga kwa Ajili ya CAF Champions League.
Today, READ MORE →
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Yesterday, READ MORE →
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Yesterday, READ MORE →
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Yesterday, READ MORE →