Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 3rd September 2026


Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”

Afisa Habari wa Gaborone United, Tshepo Molwane, amesema wamejiandaa kwa nguvu kuelekea mchezo wao dhidi ya Young Africans (Yanga SC) katika hatua ya awali ya CAF Champions League.

Molwane amesema tangu walipopata taarifa kwamba watakutana na Yanga, wameanza maandalizi maalum huku wakifuatilia kwa karibu michezo yao ya hivi karibuni ili kuifahamu vizuri timu hiyo.

“Tumekuwa tukijiandaa kwa nguvu sana tangu tumefahamu tutacheza na Yanga SC, tumewafuatilia kwenye michezo yao ya mwisho, tunajua tunaenda kukutana na timu ya aina gani, hautakuwa mchezo mwepesi.”

Kauli hiyo inaonyesha namna Gaborone United inavyolitazama kwa uzito pambano hilo, huku Yanga ikiingia kwenye mchezo huo ikiwa na lengo la kuanza vizuri safari yake ya kutafuta mafanikio katika michuano ya CAF Champions League msimu huu.


  

More Stories

TPLB yasisitiza, mabadiliko ya ratiba hayataathiri mwisho wa ligi
TPLB yasisitiza, mabadiliko ya ratiba hayataathiri mwisho wa ligi
Today, READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 03 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 03 2026
Today, READ MORE →
Al Ahli Tripoli yawasili Zanzibar kwa mtanange wa CAF dhidi ya KMKM.
Al Ahli Tripoli yawasili Zanzibar kwa mtanange wa CAF dhidi ya KMKM.
Today, READ MORE →
Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”
Gaborone United Yaitambua Yanga: “Hautakuwa Mchezo Mwepesi”
Today, READ MORE →
Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika
Kwa Shalulile Simba walianza Yanga wakamaliza, kocha Barker akihusika
Today, READ MORE →
Yanga kumtumia Fabrizio romano kutambulisha jezi si jambo jipya
Yanga kumtumia Fabrizio romano kutambulisha jezi si jambo jipya
Today, READ MORE →
Fabrizio Romano Azindua Jezi za Yanga kwa Ajili ya CAF Champions League.
Fabrizio Romano Azindua Jezi za Yanga kwa Ajili ya CAF Champions League.
Today, READ MORE →
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Simba yatangaza ujio wa Simba marathon kwenye maadhimisho ya miaka 90
Yesterday, READ MORE →
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Uganda U23 yajitoa kwenye mbio za kufuzu AFCON U23 2027
Yesterday, READ MORE →
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Chelsea yasalitiwa kwa lamine siku ya mwisho ya usajili
Yesterday, READ MORE →