International, Transfer News, Ziyech, Botafogo, Chelsea, Jax, Wydad Casablanca, Morocco, Brazil, Transfer

Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
1h ago
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo

Winga na kiungo mshambuliaji raia wa Morocco, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya awali ya kujiunga na Botafogo ya Brazil, akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba wake na Wydad Casablanca kwa makubaliano ya pande mbili.

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 33, ambaye amewahi kuzitumikia Chelsea na Ajax, anaelekea Brazil kukamilisha taratibu za usajili, ikiwemo vipimo vya afya na kusaini mkataba unaotarajiwa kumweka Botafogo hadi Desemba 2028.

Uhamisho huo unafungua ukurasa mpya katika maisha ya soka ya Ziyech baada ya kipindi kifupi Wydad Casablanca, klabu aliyojiunga nayo Oktoba 2025. Katika kipindi hicho, Ziyech alicheza mechi 16, akifunga mabao tisa na kutoa asisti mbili, huku akikumbana pia na changamoto za majeraha na kutokuwa na mwendelezo wa muda mrefu ndani ya kikosi.

More Stories

Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
57m ago
READ MORE →
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
3h ago
READ MORE →
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
Azam na Namungo kukipiga leo, Rekodi yawaumiza wageni
3h ago
READ MORE →
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
Singida Black Stars wafika Uwanja wa Kimataifa wa Juba kurejea Dar es Salaam
5h ago
READ MORE →
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
Depu Azidi Kuwaka, akiipa Petro de Luanda Ushindi Ugenini.
5h ago
READ MORE →
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
Kamwe atangaza sele day kuingamiza Gaborone, mashabiki yanga watakiwa kuiga style yake
6h ago
READ MORE →
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
Yanga inazidi kuimarika na tunataka ubingwa wa afrika : Manqoba
7h ago
READ MORE →
Singida BS yaweka rekodi Afrika, yagawa dozi nene Sudan Kusini
Singida BS yaweka rekodi Afrika, yagawa dozi nene Sudan Kusini
8h ago
READ MORE →
EPL Updates: Everton na Arsenal Zang’ara Katika Michezo ya Leo.
EPL Updates: Everton na Arsenal Zang’ara Katika Michezo ya Leo.
17h ago
READ MORE →