Local, Normal News, Yanga, Pacome, Azam complex, CAFCL, Gaborone

Pacome Zouzoua sehemu ya jeshi la yanga ikiingamiza Gaborone

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
โ€ข
1h ago
Pacome Zouzoua sehemu ya jeshi la yanga ikiingamiza Gaborone

Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, anatarajiwa kuwa miongoni mwa watazamaji katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, utakaochezwa Jumamosi, Septemba 12, katika Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo unakuja baada ya timu hizo kutoka sare ya 1-1 katika mkondo wa kwanza nchini Botswana.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Shaban Kamwe, amesema uwepo wa Zouzoua uwanjani unaweza kuwa hamasa kwa wachezaji wenzake, licha ya nyota huyo kutokuwa sehemu ya kikosi kinachoshiriki msimu huu kutokana na jeraha.

Zouzoua anaendelea na matibabu na urejeshaji wa hali yake baada ya kupata jeraha kubwa la mguu mwishoni mwa msimu uliopita. Yanga tayari imemtoa kwenye usajili wa msimu wa 2026/27 ili kumpa muda wa kutosha kupona, huku kurejea kwake uwanjani kukitarajiwa baada ya kukamilika kwa mchakato wa matibabu.

Uwepo wa Zouzoua Azam Complex unatarajiwa kuongeza hamasa kuelekea mchezo huo muhimu, huku Yanga ikihitaji matokeo yatakayoisaidia kuvuka hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza.

More Stories

Yanga yatangaza โ€œSele Dayโ€ kumkaribisha Selemani Mwalimu Jangwani
Yanga yatangaza โ€œSele Dayโ€ kumkaribisha Selemani Mwalimu Jangwani
1h ago
READ MORE โ†’
Yanga yafungua milango azam complex, viingilio dhidi ya Gaborone vyatajwa
Yanga yafungua milango azam complex, viingilio dhidi ya Gaborone vyatajwa
1h ago
READ MORE โ†’
Hersi ajibu tuhuma za kumlazimisha Chama Yanga
Hersi ajibu tuhuma za kumlazimisha Chama Yanga
2h ago
READ MORE โ†’
Rasmi: UEFA yaagiza dakika moja ya ukimya kwa Nepal.
Rasmi: UEFA yaagiza dakika moja ya ukimya kwa Nepal.
3h ago
READ MORE โ†’
Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.
Rasmi: TRA yamfuta kazi kocha Etienne Ndayiragije.
13h ago
READ MORE โ†’
Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.
Azam Fc yabeba points tatu NBC Premier League mbele ya Namungo.
13h ago
READ MORE โ†’
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
Tevez kuvunja mwiko, Messi na Ronaldo kucheza timu moja
23h ago
READ MORE โ†’
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
Ziyech aagana na afrika, aanza safari mpya Brazil na Botafogo
23h ago
READ MORE โ†’
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
UEFA Champion League kurejea kesho kwa Kishindo.
1d ago
READ MORE โ†’