Latest Transfers

International,Transfer News,Real Madrid, Chelsea, Local Real Madrid wakaribia kukamilisha usajili wa Cucurella

Real Madrid wakaribia kukamilisha usajili wa Cucurella

Real Madrid wanaripotiwa kuwa katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kushoto wa Chelsea, Marc Cucurella, katika uhamisho unaoendelea

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Simba, Mazembe Simba yafuata beki TP Mazembe

Simba yafuata beki TP Mazembe

Klabu ya Simba SC ya Tanzania imeingia kwenye mchakato wa mazungumzo ya kumsajili beki na nahodha wa TP Mazembe, Madou Zon (27), katika juhudi za k

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Singida, Maniema Singida BS yamnasa winga hatari Maniema

Singida BS yamnasa winga hatari Maniema

Klabu ya Singida Black Stars imeripotiwa kukamilisha usajili wa winga wa kushoto wa AS Maniema Union ya DR Congo, Jeancy Mboma Kinda.Taarifa

READ FULL REPORT →
International,Transfer News,Real Madrid, Manchester City, Local Bernardo Silva akamilisha uhamisho wa bure kutua Real Madrid

Bernardo Silva akamilisha uhamisho wa bure kutua Real Madrid

Klabu ya Real Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mahiri wa Ureno, Bernardo Silva, kwa uhamisho wa bure baada ya nyota huyo kuhitimisha

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Yanga, Singida Mwenda kurejea Singida BS baada ya mkataba wake Yanga kumalizika

Mwenda kurejea Singida BS baada ya mkataba wake Yanga kumalizika

Beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda, huenda akarejea kuichezea Singida Black Stars baada ya taarifa kueleza kuwa tayari amefikia makubaliano na w

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Simba Simba hesabu bado ziko kwa Nwabali

Simba hesabu bado ziko kwa Nwabali

Klabu ya Simba SC inaendelea na harakati za kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27, huku ikitajwa kutofunga kabisa faili la kipa wa kima

READ FULL REPORT →
International,Transfer News,Barcelona, Manchester United, Local Barcelona yagoma kulipa Euro 30M kwa Rashford, yafikiria mkopo mwingine

Barcelona yagoma kulipa Euro 30M kwa Rashford, yafikiria mkopo mwingine

Mustakabali wa mshambuliaji wa England, Marcus Rashford, ndani ya Barcelona unaendelea kuwa wa sintofahamu baada ya klabu hiyo kuonekana kutokuwa t

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Singida Rupia mbioni kurejea Polisi Fc Kenya

Rupia mbioni kurejea Polisi Fc Kenya

Mshambuliaji raia wa Kenya, Elvis Rupia, anaripotiwa kuwa katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kurejea katika klabu yake ya zamani ya Kenya Poli

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Pamba, Singida Yona Amos kutua Singida Black Stars

Yona Amos kutua Singida Black Stars

Mlinda lango Yonah Amos anatarajiwa kujiunga na Singida Black Stars akitokea Pamba Jiji baada ya kukamilisha makubaliano ya kimkataba na walima ali

READ FULL REPORT →
International,Transfer News, Atletico, Real Madrid, Barcelona, Local Atletico Madrid wakataa ofa ya Euro Milioni 150 ya Real Madrid kwa Alvarez

Atletico Madrid wakataa ofa ya Euro Milioni 150 ya Real Madrid kwa Alvarez

Atletico Madrid imekataa ofa ya euro milioni 150 iliyowasilishwa na wapinzani wao wa jiji, Real Madrid, kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wao nyo

READ FULL REPORT →
International,Transfer News,Atletico Madrid, Barcelona Atletico waweka ugumu Alvarez kutua Barcelona

Atletico waweka ugumu Alvarez kutua Barcelona

Atlético Madrid imeendelea kusimama kidete kuhusu mustakabali wa mshambuliaji wake nyota Julián Álvarez, huku klabu hiyo ikiripotiwa kuweka mash

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Yanga Girumugisha anakaribia kutimkia Libya

Girumugisha anakaribia kutimkia Libya

Winga nyota wa Al Hilal Omdurman, Jean Claude Girumugisha, anatajwa kuwa mbioni kujiunga na klabu ya Al-Ittihad ya Libya katika moja ya usajili mku

READ FULL REPORT →
International,Transfer News,Al Ahly, Local Al Ahly yakaribia kumtangaza Hussein Ammouta kama Kocha Mkuu

Al Ahly yakaribia kumtangaza Hussein Ammouta kama Kocha Mkuu

Klabu ya karne, Al Ahly, imefikia makubaliano ya awali na kocha raia wa Morocco, Hussein Ammouta, kuchukua nafasi ya ukufunzi wa timu hiyo kwa mkat

READ FULL REPORT →
International,Transfer News,Real Madrid Mourinho amewasili Madrid, asubiri utambulisho

Mourinho amewasili Madrid, asubiri utambulisho

Jose Mourinho amerejea rasmi katika klabu ya Real Madrid na anatarajiwa kutambulishwa kama kocha mpya wa mabingwa hao wa Uhispania katika makao mak

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Yanga, Polisi Fc Yanga yanasa mshambuliaji Mburkinabe Yves Koutiama

Yanga yanasa mshambuliaji Mburkinabe Yves Koutiama

Klabu ya Yanga inatajwa kuwa imekamilisha usajili wa mshambuliaji Yves Koutiama (27), raia wa Burkina Faso, ikiwa ni sehemu ya maboresho ya kikosi

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Simba Camara kutua Ufaransa baada ya kuondoka Simba

Camara kutua Ufaransa baada ya kuondoka Simba

Mlinda mlango wa Simba, Moussa Camara (27), anatarajiwa kujiunga na klabu ya FC Annecy inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Ufaransa (Ligue 2) m

READ FULL REPORT →
Local,Transfer News,Tetesi, Yanga Yanga yafuata beki Ivory Coast

Yanga yafuata beki Ivory Coast

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wametajwa kuingia kwenye mbio za kuwania saini ya beki wa kushoto wa Mouna FC ya Ivory Coast

READ FULL REPORT →